wadau naomba kuuliza, ama kwa mtu mwenye utaalamu wa ile calculate ya tra kuhusu ukokotoaji wa gharama za ushuru zinazotakiwa kulipwa wakati wa kuingiza bidhaa kutoka nje mfano gari nk ina fanya kazi kweli au mimi nimeshindwa kuitumia Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools msaada tafadhali
MIMI NI MDAU WA JUKWAA HILI NIMEJARIBU SANA KUANGALIA WADAU WENZANGU WENGI WANAPENDA KUWEKEZA LAKINI WANAOGOPA, MI NINGEPENDA NIWASHAURI AU KU SHARE NANYI MIMI NIME FANIKIWA KUANZISHA KAMPUNI YA TOURS ( UTALII) INAFANYA KAZI ZOTE UTALII WANDANI HATA ULE WA NJE,JAPO KUWA KIUKWELI KUNA CHANGAMOTO...
asante mkuu bfexjan sasa kuna email hapo umezitupia katika uzi huu huu hizi zina muhusu nani hilo niswali langu la kwanza ,pili kama nahitajikupata mawasiliano zaidi na wewe ndugu yangu je utakuwa tayari maana hata mie uzi huu unanigusa kweli tafadhali naomba nikupe mawasiliano yangu ili tuweze...
kakakiiza acha kukurupuka rudi kwenye thread orijino usome vizuri alicho andika mwanaharakati huru sio wassira hiyo ni editing yako katika kutafuta mahali tu pakukosoa wacheni uhuni bwana kuweni watu makini thanx
nawasilisha.
mbona unakimbilia kwenye maswala ya salio badala ya kunitafuta ili tuweze kujadiliana kama kweli una uwezo wa kufanya kazi yenyewe plz kama unaweza nitafute kwenye mail yangu tuweze kujadiliane
NAOMBA MWANA SHERIA AMBAYE ATAKAYE NIANDIKIA MEMORANDUM OF THE COMPANY NA ARTICLE OF ASSOCIATION NAOMBA TUWASILIANE KWA E-MAIL IFUATAYO kinudy@gmail.com
wewe kweli maundumula hivi unajua hata dai moja la madaktari au ulikuwa umelala umekuta ma great thinker wana jadili ukaona nawewe japo uonekane umechangia hivi ulisha wahi kwenda kutibiwa kwenye hizo hospitali ambazo madaktari wana goma?ulisha wahi kupewa panadol dawa zingine ukaambiwa nenda...
john cheyo mzee wa mapesa, kwenye chama yuko peke yake, kisha huyu mzee kweli mchumia tumbo pia yeye mwenyewe ana kamati anasimamia, kwenye kulalamika wa kwanza kwenye kuwawajibisha anao walalamikia kaingia mitini, minadhani wakirudi tena bungeni hii oparation uwajibikaji ya mh' kabwe pia...
Karibu daslam kamanda lema na timu yako hata sisi tuna mis mambo mengi ya kujifunza kutoka kwako na timu nzima ya uhamasishaji ya chama au tupeni hata ratiba mtakuja lini ili tuwe na subira
m4c peolpeesssssssss......
mkubwa mtenda haki kweli umekwenda deep in detail, kwakweli haina haja ya kuwajadili kuwa nani bora kati ya viongozi wetu wa kitaifa labda kama tunataka tukubali ukweli kuwa, pongezi za kipekee zituendee sie tuliokubali mageuzi ya kweli, kisha wao kama waanzilishi wa mageuzi hayo nao wana nafasi...
asante mkuu isango nimeipenda hiyo na nadhani kuna umuhimu kweli wa kukata rufaa na kutumia vifungu vya sheria kama hivi ili kumkomboa mwanaharakati mwenzetu lema kwani kama mawakala hawakujaza fomu sote za kuonyeshwa kuto ridhishwa mara nyingi kesi za magamba ni za kupikwa na wanajua mahakimu...
duh nime ipenda sana hii mkuu kama watakata rufaa itakuwa jambo zuri pia na kazi mpya ya mh. lema ita work out 100% japo kuna kitu kina nishinda kuelewa kama wale waliopinga ubunge kwa sababu walizozitoa sina imani kama ni raia wa kawaida wenye akili timamu, nina imanikubwa sana kuwa wale...
kuna mkuu nime msahau jina aliwasilisha hapa jamvini kuwa anaenda kununua suti ya kuvaa kamanda nassari wakati akiapishwa naomba kumkumbusha asisahau kama senti zitapungua kdg makamanda tupo tutapiga mchango kama kawa pipoz power never giv up wera wera ,,,,,,nawasilisha
hicho kikosi cha chadema kilikuwa na watu wachache lakini muhimu mno yaani jama nawafananisha kama vile walikuwa wanacheza na bacelona nusu yaani ambayo haija timia na imewapiga bao la kisigino
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.