Mtaji kuanzia milioni 6 location sehemu yyt pkpk zinapopatikana kwa wingi.Aina ya spea za kuanza nazo inategemea eneo husika pkpk nyingi Ni zipi.Muhimu uwe na fundi mzuri
Mi biashara nafanyia huku kibaha maporini kwenye mikaa.Wateja wangu wengi Ni wabeba mikaa kwa pkpk(Busta) spea wanazonunua Sana Ni original za haojue,sinoray na fekon.Na Bei zake sio mbaya sn ukinunua direct kutoka kwao.
Mi nilisomaga Uzi wa hii biashara humu humu nikaanza na mtaji wa milioni 6 mwaka 2018.Hii biashara Ni nzuri sn mpk ss imenisaidia nimejenga nyumba 2 mpk ss.Kwa changamoto yyt utakayopata unaweza kuuliza karibu
Well said mkuu, mm pia Nilimaliza form 4 nikaamua kukimbizana na hela mtaani kwanza kwa miaka Kama 9 hv then nikaona nirudi shule.Nikaanza certificate in wildlife mngnt mwaka 1 then diploma miaka 2 tena chuo kizuri sn tu cha serikali lkn nimehangaika kutafuta ajira miaka 2 bila kupata.Nikaamua...
Ni samsung Galaxy pocket gt 5301
Ni used ila iko katika hali nzuri
Haina tatizo lolote
Chaji masaa 14 data ikiwa ON
Mitandao yote ya kijamii unapata facebook,tweeter,whatsup,instagram,badoo,viber,skype n.k
Niko Mbezi mwisho DSM
Contact 0758293598/0674057335
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.