Vijana wake Bashe, Malissa na Ole Millya mbona majina yao CCM hawakuyarudisha kwenye wagombea ubunge wa EAC? Please dont say hawakuutaka, sababu kuna taarifa za uhakika kuwa waliutaka.
Zitto this, Zitto that, kila mkiamka huku siku zinasonga... Hiyo miekspiriens mnayoitaka imetusaidia nini miaka 50 hii ya Uhuru. Maisha ya mtanzania yamezidi kuwa duni. Tazama maji safi na salama chini ya 30%, vifo vya kinamama kwa uzazi ni zaidi ya 500 kwa kila laki, umeme ni chini ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.