Iposiku Tanzania tutasikia Kuna makundi ya kutekeleza mashambulizi na kujitoa muhanga kama Yale ya Alshababu na boko aram/nigeria. Hii Itkua matunda ya vikundi vinavyopewa mafunzo na vyama vya siasa mfano green guide wa sisim. Nilimsikia kiongozi mmoja wa ccm akidai ni kikundi cha kusak ushind...
Niko na bishost mmoja kwataklibani miezi sit ILA kunatabia moja nimeisoma kwake ni mbinafsi chake ni chake ILA chang chake. Then ukiwa nae kila anachoona anataka anunuliwe usiponunua ananuna au uwanunulie wadogo zak. Nanshamvalisha Pete y uchumba. Sijui nisepe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.