naomba kufahamishwa kisonono baridi ni nini kwasababu ukipita mitaani mabanda mengi ya Dawa za asili yanaorodhesha kisonono baridi kama miongoni mwa magonjwa wanayotibu. Hiki kisonono baridi kinasababishwa na nini, madhara yake ni nini na kwanini kinafahamika na tiba asili zaidi kuliko tiba rasmi?
nimeona wafugaji kuku wa mayai wanalalamika msiba wa kuingia mayai kutoka nje ya nchi. wafugaji wa kuku wa nyama mtuambie je soko liko salama kwa sisi wafugaji watarajiwa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.