Search results

  1. U

    Zaidi ya wanachama wa CHADEMA 5000 wajiunga na CCM Bukoba

    haa haa ccm kwa propaganda ni wenyewe...
  2. U

    Kingunge, Lissu na Lema kushusha gharika Kigoma na Tabora

    haa haa mkuu usiwasemee watu jisemee mwenyewe. utafiti wa bbc mkoa wa kigoma lowasa anaongoza kwa 42 huku maghufuli akiambulia 32 tu.
  3. U

    Kingunge, Lissu na Lema kushusha gharika Kigoma na Tabora

    haa haa mkuu je atawakamua na wale mafisadi waliouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa? na pia yule aliyewagawia bure vimada wake?
  4. U

    Kingunge, Lissu na Lema kushusha gharika Kigoma na Tabora

    afadhali hata ukawa. maana ccm wanatumia kodi zetu na raslimali za serikali kujipigia kampeni......
  5. U

    Kingunge, Lissu na Lema kushusha gharika Kigoma na Tabora

    tunaomba ukawa anzeni mara moja. pia dada Halima aingizwe kwenye kikosi cha ardhini ili akawanadi wagombea ubunge wanawake.....
  6. U

    Ziara ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa mkoa wa Mara (Serengeti,Tarime)

    kabakiza mwanza,mara,pwani na mbeya nadhani....
  7. U

    Wao wameshindwa Monduli. Lowassa ameweza Karatu na Chato

    naomba mwenye picha ya lowasa akiwa chato atuwekee hapa.pia mwenye picha ya magufuli akiwa monduli tafadhali...
  8. U

    Siku kumi muhimu kwa ushindi wa Lowassa

    mkuu huko ndo kule ambako mtoto wa marehemu celina kombani amerithi jimbo ili agombee ubunge. kama ukawa wangeongeza vikosi vya ardhini moro ilibidi ungekuwa mkoa wa kimkakati wa kikampeni...
  9. U

    Lowassa kadanganya watu wa Namanga kuhusu Uchumi wa Tanzania

    haa haa rwanda si chochote kwa lipi?
  10. U

    Lowassa kadanganya watu wa Namanga kuhusu Uchumi wa Tanzania

    hivi kwa mfano tuanze kwanza kwenye ndege. je sisi tunazo ngapi? rwanda wanazo ngami....?
  11. U

    Lowassa kadanganya watu wa Namanga kuhusu Uchumi wa Tanzania

    hamshindi maghufuli kamwe na mrema..
  12. U

    Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

    maghufuli japokuwa ni mchapakazi kiasi fulani ni mweupe sana wa mambo mengi....
  13. U

    Ballistic Missiles za Lowassa Zaelekezwa Mara. CCM Kufutika Kabisa

    mara ccm iko katika hali mbaya. vicent nyerere anaipeleka puta sana....
  14. U

    Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

    hapa giza tu na ulaghai..
Back
Top Bottom