Kama Ni kutishwa kuhusu kuuza nchi tulishatishwa Sana,na bado yupo, sasa niwaambie labda ccm mmejisahau hii nchi ilishauzwa simu nyingi Sana toka 1995 kupitia ubinafshaji...ndo maana wazungu wanajichimbia Tu madini kiholela..hapa tunataka kurejeshewa nchi,usitufanye wapumbavu..tuwache na ulofa...
Kama uliishia lasaba usikurupuke na kuandika maneno utafiti humu maana unakuwa hujui ulichotamka...utafiti ni process ya ku assimilate reality na huwa inatumia sample na data,siyo propaganda ,kwa hiyo wewe na ngumbaro yako mimi Kama msomi nakuzuwia usilitumie hilo neno Tena maana hulijui.
Wacha ujinga wewe hao wanaotoa ahadi hewa mbona hawakuzifanya wakati wakiwa mawaziri,kwa sababu umesoma na pesa za ruzuku za ccm unataka wote wafuate ujinga wako
Wewe mhariri ni Mbwa uliokosa malezi.na ninyi wahariri mbwa kama ninyi sijui anaye waajiri nani. Mnafanana sana na vyombo vya habari vya rwanda kabla ya vita 1994. Wewe ukinyimwa pesa ndiyo unatumia kalamu kuwakilisha blast fermmy humu kwenye blog. Kama usalama wa taifa unafanya kazi mkamateni...
Huu utawala wa kikwete kama ule wa kaizari vile,hata ukiona hatari haugopi,hata ukioneshwa maono kama farao wala hauoni,sijui ufanyweje.na walaaniwe viongozi wote wa tanzania wanaowahadaa wananchi kuwa wanafanya kazi kwa maslahi ya uma kumbe ni kwa familia zao.na ulaaniwe wewe efraim kibonde na...
lazima CCM ICHINJWE 2015 HATA WAKILETA VURUGU,MAMEMCHINJA MWENYEKITI ARUMERU SASA WANALETA BIFU ZA KIJINGA SI WAHAME HICHO CHAMA KWANI LAZIMA KUWA CCM? CHAMA CHA MAFISADI HICHO JAMANI HAMUONI KAMA MMELAANIWA?
Viva tanzania,viva forever ,madaktari hakuna kulala mpaka kieleweke.mnatakiwa kurizaini wote ili serekali ijue mbunge na dactari muhimu ni daktari.haki sawa kwa wote.
ukombozi wa kuitoa nchi mikononi wa mafisadi/mafarao unakaribia ,VIA TANZANIA,CCM itakufa kifo cha aibu na haitarudi tena madarakani,HAKUNA CHAMA KILICHOLETEA NCHI UHURU KILICHOFANIKIWA KUIONDOLEA NCHI UMASKINI
hivi kuna viongozi wa ccm ili wapande jukwaani ni lazima wavute bange?maana hii speech ya mshikaji kama ya mtu hamnazo hivi!ukilipwa pesa bungeni unauamuzi wa kuutimia unavyotaka.mbowe kaamua kumlipia mtoto wake ada yeye kama anazihonga powa tu.CCM acheni kuargue totology stupid
unajua kuna watu humu jamvini sijui wanafikiria na makalio? hilo la CHADEMA KUchukua nchi mbona lipo waaaazi.mimi mwenyewe mwanaccm nimekitafakari chama kwa undani naona kimekata netework.Ona mikutano ya nape kama ya kijiji.watu mia hamsini wakizidi saaana 300 huoni wananchi weshachoka au kwa...
wasaidizi wa ghadafi hata walipoona utawala unazama waliendelea kujitia moyo mpaka walipoanguka puuuu. si ccm endeleeni kujitia moyo.mimi ni msukuma nipo magu cdm ipo juuu sana wala hakun uchaga hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.