Habari zenu wakuu,
Jana nilikua safari kutoka Mwanza kwenda Arusha na gari dogo, Toyota Voltz njiani gari iligoma kutembe speed ya Km 80 kwa saa hata ukanyage mafuta vipi, kwenye mteremko ndio lilikua linaenda mpaka km 100 ukianza mpando zinashuka kati ya 70 na 80 pia nilikua nikisimama sehemu...
Jamani mwenye kujua jina la huu wimbo au kama unao unaweza kunitupia hapa,umeimbwa na mkenya. Lyrics zake ni hivi! Nilikuwa na mpenzi wangu, Tulipendana Kama nyama Choma, alibahatika kwenda ng'ambo, chuo kikuu kwenda kusoma, miaka mitatu kule Japan kusomea udaktari.....,
Sent from my...
Wenzako wanasonga mbele, wewe unarudi Nyuma.....Inaniuma sana na sina budi kuliandika hili, umoja ni nguvu utengano ni dhaifu, kamba ya katani iliyosokotwa kwa nyuzi mbili au tatu na kuwa kamba moja ni ngumu kuliko nyuzi mbili au tatu zilizo shikwa na kishungi kimoja!Ingawa bado ni rasimu tu ya...
Napenda kuanza kwa kunukuu maneno ya Afande sele ndani ya wimbo wa MTAZAMO. "HUU NI MTAZAMO MASELA MSIJENGE CHUKI"
Nimetoka kuangalia video ya wimbo ninaoupenda sana wa "me and u" ulioimbwa na ommy dimples Honestly nimekereka na umenibore hii ni kiroho safi kabisaaaaa ni kwa sababu nilichokuwa...
Salamu wakubwa, nilikuwa nauliza kwa aneweza kunisaidia kuupata wimbo wa tanzania umeimbwa na wahindi ni wa kitambo kidogo, mbaya zaidi siujui hata jina lake, tbc taifa ndio wanaoupiga mara nyingi!
Mistari yake michache ni kama ifutavyo.
Tanzania tanzania tanzaniaaaa tazama...
Mimi ni mpya humu chit chat, nauliza kuhusu utaratibu....nini hasa kinafanyika huku, isije kuwa watu wana cheza disco humu mimi nikaanza maombi! Nawasilisha
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.