Mkuu kwa kukusaidia tu kama kweli wewe ni mkristo mkatoliki, nenda kajiulize nini maana ya neno la Mungu, ni mamlaka gani wanapewa makasisi wa kikatoliki pale wanapopakwa mafuta, ni mlaka gani tunapewa waumini pale tunapopakwa mafuta katika sakramenti ya kipaimara. Kisheria katoliki kwenye canon...
Ndugu mchumi, nadhani hili sio eneo lako, hapa waachia CPA's. FS ni mjumuiko wa mapato na matumizi sehemu inayozaa faida au hasara, kuna sehemu ya Mtaji, Mali na madeni pia kuna sehemu ya mzunguko wa fedha( Cashflow)...Jifunze kwanza hivyo ukimaliza urudi.
JF imekua ya kipuuzi sana siku hizi, watu wameigeuza fb, majukwaa tuliyokua tunapata taarifa serious na reliable siku hizi yamejaa story za kizushi hazina logic, hazina ushahidi.
Unazungumzia kubadili uwanja huoneshi kanuni zinavyosema, unahusisha mambo ya Jezi huoanishi na kanuni. Na watu...
Takukuru inahusika vipi na ukwepaji kodi? Mbona sheria za TRA zimejitosheleza na zina mamlaka kamili ya kupiga fine na kushtaki.....Takukuru na kutakatisha fedha? Hivi takukukuru ni Taasissi ya kuzuia na kupambana na Rushwa? Hivi kutakatisha fedha ni rushwa?......mie sijui kwakweli.
Unajua hata maana ya mkataba? Unajua hata kitendo cha kujiandaa kutoka ghana kinaweza kua ushahidi wa makubaliano, au wewe una deal tu na makaratasi...
Hata mimi napinga, lakini siku ukianza kupinga magari ya Serikali kuwekewa private namba na kutumiwa na Chama, wafungwa kupandisha bendera za chama, wafanyakazi wa umma wanaomlinda rais kuvalishwa sare za chama, na mgombea wa chama kutokupewa ulinzi wa umma na kutambulika kama raisi mteule kabla...
Mbowe alianguka akasingizia kavamiwa.......leo wamejichelewesha wakasingizia wamezuiwa.......
Sugu kasema ukweli baadae kasingizia amedukuliwa.......
Hivi hamuoni kiki zenu zinabuma, kwa nini mnaendelea nazo??
Hivi kiki ya kwanza ina buma unashindwa kuongeza akili kidogo kwenye kiki ya...
Wewe aliekwambia vyombo vya usalama kazi yake ni kutokutukanwa nani? Hebu kila mtu atimize majukumu yake. Vyama vya siasa na wanasiasa wafanye siasa zao, watendaji wanataaluma wafanye kazi zao, na vyombo vya usalama vifanye kazi zao.
Halafu mbaya zaidi hayo unayoita matusi ni tuhuma za wao...
Billi and Melinda gates foundation zimeweka sera ya mtoto mmoja China? Unajua huo mfuko umeanza lini na hiyo Sera ya China ineanza lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakija wapi? Wewe usiepinga ni CCM? Hebu msitunyime uhuru wa kusapotin au ku challenge kwa kutubatiza U CHADEMA na UCCM.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.