Jamani nimekuwa nikijiuliza mambo mengi juu ya wanandoa wengi kukosa uaminifu kwa wenza wao siku hizi, swala la msingi ninalojiuliza ni nini chanzo? wengi mtaniambia ni kupata ladha tofauti, oh wa kwangu ana mapungufu haya na yale ndo maana nikatoka. Sasa je kama huko unakokimbilia ni vile vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.