Je unatafuta watu wa kukuandalia katika shughuli yako?..Unatafuta chakula kitamu lakini hujui wapi pa kuanzia? ...Kwa mahitaji ya huduma ya vyakula,vinywaji katika shughuli mabalimbali kama Harusi, Send Off, Kitchen Party,Komunio, Msiba, Ubatizo n.k....tena kwa bei nzuri ambayo itakidhi uwezo...
If you want to study in UK, Staff from the university of ULSTER(London and Birmingham branch campuses) are holding student interviews and counselling sessions at LOCUS INTERNATIONALS Dar es salaam offices..IF YOU ARE INTERESTED FOR SEPTEMBER 2013 INTAKE Just book your place today...We are at...
nataka kujua radio yenyewe ina tuning ya digital au analog(kama zilivyo za radio za zamani) na vilevile tujuze frequency range yake tafadhali
Radio tuning ni digital,pia freq ni mpk 108.
Radio ndogo aina ya SAST ambayo ni portable ina uwezo wa kutumia flash,pia ina FM.. Uwezo wake wa sauti ni mkubwa kwani ina Hifi pia haina haja ya kutumia umeme kwani unaweza kuichaji km simu na kuitumia si chini ya siku tatu..nI YA KISASA MPYA KABISAA Bei ni tsh 45,000. for serious business ni PM.
Tangaza Marketing Solutions(TMS):
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions.
Pia ni wakala wa Renew Earth Technology(RET) kwa ajili ya kutoa huduma ya ulinzi wa simu na computer aina zote(desktops and Laptops) pindi itakapoibiwa au kupotea na kuweza kuipata na kurudisha...
Tangaza Marketing Solutions(TMS):
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions:
Pia ni wakala wa Renew Earth Technology(RET) kwa ajili ya kutoa huduma ya ulinzi wa simu na computer aina zote(desktops and Laptops) pindi itakapoibiwa au kupotea na kuweza kuipata na urudisha...
Mtu akiamua kutafuta suluhu ya jambo kwani lazima awe mwanzilishi wa hilo tatizo? mbona mnakuwa hamuwezi hata kufikiria,wakati mwalimu nyerere alipokuwa akitatafuta suluhu ya mambo mbalimbali je yeye ndo alikuwa source? kikwete alipokwenda kuongea na viongozi wa kenya kumaliza mgogoro what push...
Strength ni kitu chochote unachoweza kukifanya katika perfomance ya juu iwe ni ujuzi,kipaji au kazi ukilingalinisha na wengine katika kitu hicho hicho..mara nyingi utaijua strength yako kwa kulinganisha na maeneo mengine unayoweza kufanya.
Mkuu lakini sidhani kama kuna makosa iwapo baadhi ya watu wamejitolea kuacha ishu zingine na kutusaidia kusajili,ukichukulia wafanyabiashara wengi tunakuwa bize na utaratibu za usajili ni time consuming, let them do ndo mana wenzenu wanaendelea hivyo hivyo kwa kugawana kazi huwezi kufanya kila...
Mi ninachoona cha muhimu mhusika aangalie utaalamu alonao na anataka kufanya nini, kitu gani amekosa? manake mtaji nao inabidi ujue unataka kutumia wapi, mana kuna watu wana mitaji lakini hawajui wafanye biashara ya aina gani...FIKIRIA tena unapenda kufanya kitu gani alafu unahitaji kubustiwa...
Tunauza betri acid za jumla kwa bei nzuri tu, tena tunaweza kukuletea mpaka mlangoni kwako, haya maji ya betri, distilled water na coolant za kwenye magari.
Maji ya betri yenye kiwango cha gravity 1280 bei y jumla ni 23,000 kwa carton na kadri unavyochukua carton nyingi bei inapungua...Karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.