wamekupa msaada wa kiimani.. tayar.. lakini hebu jaribu hili kwa ajir yako.. jaribu kuomba likizo ya kama mwezi hv.. ukatafakar kwa kina ushaur ulopewa hapa.. nenda mbali na usiwe na simu.. uko ukatengeneze marafiki wapya then.. ukirud utakuwa umekusanya nguvu mpya za kushikiria ndoa yako.
wakuu mbona leo nimeingia kwenye website yao hakuna application on line yaan hakuna vacancy kwa sasa na wakati kuna tangazo lao la 6/05 na mwsho wa kutuma n 20/05..
kumshiriksha au kutomshirikisha inategemea aina ya mwanamke maana wengine ukiwambia umepata vimilion kadhaa na unafikiria kutafuta kakiwanja yeye anafikiria kununua nguo 'nipe kabisa laki mbili zangu nashida nazo' na hapo bila kumpa ugomvi hauishi
hv huyu faizafix n raia wa wap..? kama n mtanzania huna haki ya kudharau elimu yetu kiasi hiki! kisa kujua kuandika aina ya vibarua.. wapo wanaojua zaid yako hawaongei.. mi natamani npate chance ya kuasses uwezo wako someday..
dah.. hv n barua ya aina gan ntakayoshndwa kuandika.. labda barua ambayo sijawh kuisikia wala kuiona lakn ntahtaj maelezo tu ya msing naandika.. tatizo mtanzania akijua kitu bas atadharau sana wenzie kwamba hawajui.. zc z bu*sht
kamwe usimwache mwanamke anayekupenda.. hautokuja kumpata kama hyo wa kukupenda hvyo maisha yako yote.. n bora zaid kupendwa kuliko kupenda usipopendwa.. umesema anajiheshmu sana.. ndo kigezo kikubwa cha mwanamke bora.. utakuja kumbuka maneno haya nayokwambia..
m ni mwitimu wa chuo kimoja hapa mchini kwetu.. nachoweza sema training tu mhitimu akipewa na organzation yoyote anapiga kazi.. hawa watu ni wahitimu kweli kweli na wana elimu, ila maisha yetu tu hapa nchini n stresfull sana.. ndo maana unaonekana haujui, umechanganyikiwa nk. wapen kaz wawe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.