Search results

  1. G

    Newest, latest, modest and most efficient website designs for you

    Mkuu nadhani haukuja kibiashara. Unapoamua kujitangaza maana yake unataka ujulikane kwa wateja, sasa unapoanza mara tukutembelee wenyewe ofisini wakati kuna kampuni zingine wanatembeza sample zao kusaka wateja sijui una maana gani. Zama hizi za ushindani ni bora kuwa wazi au uendane na maombi ya...
  2. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mkuu MAMMAMIA, nawe nakushukuru sana kwa ushauri wako, nitaufanyia kazi sana, ubarikiwe
  3. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mkuu nawe nakushukuru sana kwa ushauri wako. Nitafanya hayo mazoezi hayo kama ulivyopendekeza
  4. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Shukrani mkuu, nitafata ushauri wako. Hata hivyo tatizo linaloambatana na la kuwahi ni lile la kutosimamisha tena au kusimamisha kwa shida baada ya awamu ya kwanza.
  5. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mkuu asante kwa taarifa hii. Sasa Dr. Ndodi anapatikana wapi? Je yupo hapa DSM? Unaweza kunipatia mawasiliano ya simu yake nimtwangie? Nitashukuru sana
  6. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mkuu sasa kurudia tena masturbation si ndiyo nitaharibu zaidi? Hakuna dawa ya kutumia kwa haraka? Kuna mtu (kwa jina la KULWA) aliwahi kueleza kuwa ana tatizo kama hili wakamshauri atumie CIALIS TADALAFIL kwamba inatibu mapema sana, nimemwandikia email lakini hakunijibu na bahati mbaya hata post...
  7. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Mkuu shukrani kwa ushauri, hata hivyo mimi sinywi kabisa bia na pia nimeacha kunywa soda.
  8. G

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Heshima kwenu wakuu. Najitokeza hapa ili kueleza tatizo langu nikitumaini nitasaidiwa njia za kukabiliana nalo na kulimaliza. Ni kwamba nilisoma shule za wavulana tangu kidato cha 1-6 na kutokana na presha ya makundi tukawa tunaelezana kwamba kwa kuwa hatukuwa na wasichana basi mtu akijisikia...
Back
Top Bottom