Jamani sisi walimu wanafunzi tunateseka sana sijui serikali iko wapi! Leo tumefunga chuo lakini barua yamatumizi inazid kiwango cha ada wanachuo 789 tuna takiwa kutoa milion 70 kwa ajili ya miundo mbinu na matibabu hali yakuwa chuo nimali ya serikali na wengi wetu watoto wawa kulima mbaya zaid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.