Mhhhh!!!!Nimeipenda HII....ili kusaidia kututenganisha haswaa pawe pia NA sensors ambazo zitawekwa ktk SEHEMU zote hiZo ulizozitaja,muislamu akikosea akakanyaga kwa Mkristo basi alarm ifanye mambo yake and vice versa...pia Si mbaya ukuta mkkubwa ukajengwa kutenganisha makazi ya wakristo NA...
Hii KITU KWA kweli KWA maoni yangu haina jibu Moja....wakati boarding sio suluhisho sahihi kupeleka watoto hasa wadogo I.e shule ya msingi na chini ya hapo.....pia day school pekee sio kigezo KUWA mtoto ataepishwa na hilo balaa....mm KWA maoni yangu wakati mwingine wazazi tunashindwa kabisa...
Hahahaaaaaaa!!!!ndio ww ulikuwa unachukua maziwa unawahonga wadada wa A level then unajichukulia wao mazimaaaaa...!!?tena humo humo ktk banda la ng'ombe....LOL!!!!nimeshakufahamu mieee...heheheeee....seriously u were one of the Loleza community member .....
Hahahaaa!!!walijua kuvitengeneza haswaa...vikiwa Vya motomoto unakula hadi basi...halafu uzuri no artificial additions...just ndizi kisukari na unga wa mahindi baaasi....
Lol!!!!I missed this...!!!Bujibuji lazima ulikuwa Iyunga au MTC.....enzi za hao wote uliowataja hapo juu....tena usinikumbushe Kajange...!!!hahahaa..Yule babu alikuwa hakubali tukatize lile geti....!!but tulikuwa tunakula kona vilevile...usicheze NA adolescence bwana....!!Lol
Mwehhhh!!!!!Bujibuji umenichekeshajeeeee !!!!!!umenikumbusha mbali kweli NA hivyo VIBAMA!!!!!tulivilajeee wakati tupo Loleza.....hahahahaaaa!!!!!!kweli JF is a stress free zone....LOL!!!
Bado kuna huyu Kajubi Mukajanga...bado yupo hata SASA na vriwaya sake Mpenzi NAMBA 1&Mpenzi NAMBA 2....siwasahau hadi Leo wahusika wakuu akina Fadhili Magoma na Diana..yaani utunzi ule ilikuwa unateka hisia ZA msomaji hadi basi....
Soo true!!!nakushukuru MUNGU KWA yote...May be I look at the house I am living and wish I had mansion...bottom line nakushukuru MUNGU KWA Nyumba ninayoishi hata Kama ni ya kupanga....May be I look at the car I have and wish that I had a Vogue,but bottom line I thank God for the car I have even...
Mungu alituumba kisha akatupa maamuzi ya kuchagua imani ambayo itatuunganisha naye ili kuiona mbingu...ambacho kinanipa shida ni jinsi bianadamu anavyojipa haki kuliko mungu mwenyewe....eti huyu si wa imani yangu so hafai kuishi duniani au hafai kuwa jirani yangu....!tunakosa uvumilivu ambao...
Kwa kuangalia picha za huyo mtu na za huyo mtoto alivyojeruhiwa ni wazi kuwa hakuna namna katika hali ya kawaida ukaelezea alivyoweza kumponyoka na kushindwa kutimiza ushetani wake zaidi ya kuona nguvu ya ulinzi wa Malaika kwa huyo mtoto katika ulimwengu wa kiroho.../tell me alipambana Naye...
Hahaaaaaaaaaaa !!!umenikumbusha mbali sana na huyu mzee...yupo ktk level nyingine kabisaaa...nakumbuka nilikuwa sikosi kusilikiza mchezo wake...alikuwa anauvaa uhusika hadi basi...alivyokuwa mbishiiiiii!!!!!!!lol...kwa sasa namuona ktk vipindi Vya vichekesho channel ten...bado anafunika...
Ingia katika blog ya ladyjaydee peruzi kurasa za nyuma,i think za march-may 2012 kuna post aliweka ina rehabilitation centre for addicts imenzishwa ipo Mikocheni...kuna contacts zao humo...all the best with her mkuu
Ohhh!!!so easy mhh..!!?while we are at that,lets stone to death all prostitutes,women and men alike,we shouldnt spare the witches,the robbers,the liars, hypocrites, adulterers,thiefs....in fact let us put to death all the sinners of this world...for the wages of sin is death dished out by human...
Right on mkuu..!!!pia naamini siku zote ndoa inahitaji kufanyiwa kazi....shida ni kuwa mara nyingi we take marriage for granted...kila bunadamu ana kasoro zake,sasa kwa mfano wa mtoa mada kwa kuwa yeye ni shemeji ameweza kuanika kasoro za mke,wakati huo za kaka yake unaweza kukuta hazijui au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.