Shalom wanajukwaa!
Sisi wananchi wanyonge tumewekewa ukomo wa muda wa vifurushi vya mitandao ya simu- kiwe kimetumika au hakijatumika, kinakwisha na hakuna refund!
Mitandao ya simu hapa nchini inaendesha biashara ya unyang'anyi hasa pale kifurushi kimoja chenye ufanano wa kila kitu(dakika, sms...
Kujitolea ni dhana pana.Ninaimani maana yake itajumuisha watu wote walio kwenye hali ya kujitolea bila kujali ni private au public kulingana na maslahi wanayoyapata watu pale walipo.Open Schools ni moja kati ya taasisi zinazojitolea moja kwa moja kwa kuisaidia serikali kuwarudisha kundini kondoo...
Ninaamini umeyaandika haya kwa uzoefu wako binafsi juu ya mvua za tanzania.
Ninaomba ujifunze jambo moja;,Mabadiliko ya tabianchi hupelekea pia kubadilika kwa vipindi na majira.
Kamwe,Mwenyezi Mungu hataiangamiza nchi yetu kwa ukame kama mnavyoombe! Never!
Yaani form six unatamba? Hiyo siyo elimu.Elimu ni maisha,Kama unayo,yafanye.
Utazeeka bila kuona kilichokuzeesha.Rudi kalime.Huu ndiyo ukweri wa kweri.
Acha porojo kijana.Kati ya mawaziri bora kabisa wa awamu ya sita ni Waziri Ummy Mwalimu.Tena aweza kuwa kinara wa ubora.Nina maono kuwa huenda akawa kiongozi wa ngazi za juu katika nyakati zijazo.
Bila Ummy,walimu masomo ya Sanaa ajira wangezisikia mitandaoni. Walimu wapya masomo ya sayansi...
Siyo kweli ndugu.Neno "Amen'' lina asili ya kiebrania;Maana yake ya msingi ni " Naiwe''/So be it(kwa kimombo).
Usilete mzaha na Lugha za asili.Lugha ya asili huwa imebeba muujiza wa utendaji.Leo hii watu hawafanikiwi hata manuizi yao kwa kuwa wananuiza kwa Lugha zisizo za asili(ya kule watokako...
Ahsante sana ndugu kwa kuweka taarifa sawasawa.Pana watu kutokana na wingi na ujuha wao wanaamini wao ndiyo wakombozi wa Tanganyika na hutumia kila mbinu iwe hivyo.
Dini (hasa ukristo) huwa hazifundishi kujitambua,kudai haki hata kwa upanga ikibidi na waumin kutokuwa wanafiki.Uislam unayapa...
Asalaam aleykhum wanajukwaa !
Ndugu zangu,tangu kufariki kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania Mwl.John Magufuli hali kadhaa za wasiwasi wa madaraka ziliibuka hasa kwa viongozi waliokuwa wakinufaika na utawala wake.
Wanufaika hawa walijaribu na walitudanganya kuwa Rais alikuwa ni mzima na akichapa...
Wewe si umejitolea? Tayari unapaha pa kazi acha tamaa.
Hakuna aliyelazimisha mkajitolee ni kiherehere chenu tu na kupenda kujifanya mnasaidia kumbe mnachora tu.
Hizi ni zama zingine.Ajira ni kwa wale wasiokuwa nazo.Wewe pamoja na aliyekushawishi ujitolee mlihesabu kuwa hiyo ni ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.