Sijui siku hizi Tanesco kuna kitengo cha kuharibu vyombo vya umeme kwa makusudi, huku Mwananyamala imekuwa kawaida kwamba lazima umeme uzimwe na kuwashwa mara kadhaa tena interval ya zima-washa ni sekunde tu!!! Ovyooo!!!
Nia yako ni nini? Kama kumtaliki fanya hivyo kama sivyo usimtaliki maana ukiwa na nia ya kumtaliki na unasita sababu ya nyumba au mali basi mtaishi ila hamtakuwa na a$ani kabisa!!! Kama linavumilika na historia inaonesha hakuwa na tabia mbaya msamehe muendelee yeye ni binadamu, ila kama...
Wadau heshima zenu. Ninatatizwa hapa, nilipewa na mtu protection inaitwa e-scan ila akanambia hakuwa na updates kwa muda huo. Nilikuja ku-install, nikajaribu ku-register ikaleta error fulani na kila nilipoingiza keys kwa mara nyingine ikawa inanmbia registration keys already valid. Nafanyaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.