Mh!haya makubwa sasa!kumbe kutoka damu nyingi nao ni ugonjwa?kwani kulikua na tofauti kati ya siku za mwanzo(wakati ndo unavunja ungo)na kipindi hiki kabla hujazitumia hizo pads?
Mie nmewahi ka-tower kamoja kati ya vi-twintower hapo posta,katembo kamoja kajike kenye mimba,katofali kamoja ka gold na kamoja kasilver,nyerere road na kakituo kamoja ka polisi sina uroho wa mali mie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.