Search results

  1. S

    Mgomo huu unaonukia wa Madaktari ni wa kujitakia,Serikali ichukue hatua harka

    Unapenda watu wafe kwa sababu zisizo za msingi?
  2. S

    Mgomo huu unaonukia wa Madaktari ni wa kujitakia,Serikali ichukue hatua harka

    Wanafanya hayo kukomoa wagonjwa wapoteze maisha kisa wenzao wanalipwa zaidi? It doesnt make sense kabisa!
  3. S

    Mgomo huu unaonukia wa Madaktari ni wa kujitakia,Serikali ichukue hatua harka

    Mimi nilifikiri kwamba hamlipwi kumbe mnataka mgome ili mlipwe kama wenzenu? Mlishauliza kwanini kuna hizo tofauti ili mpate ufafanuzi? mlishauliza wenzenu wanafanya kazi masaa ngapi? Hamuoni kwamba huu mgomo utakuwa na mgawanyiko?
  4. S

    Maiti Akutwa na Kete 65 za dawa za Kulevya mkoani Mbeya...

    Wanaweka kwenye maabara zao kwa ajili ya kufundishia polisi wanafunzi lol
  5. S

    Ufunuo: Hatari kubwa CHADEMA

    Ukinywa Konyagi uwe unachanganya na Soda
  6. S

    Mkapa azimwa

    Labda mguu ulimsumbua
  7. S

    The Man behind 2PAC's Death

    chris rock
  8. S

    Maiti Akutwa na Kete 65 za dawa za Kulevya mkoani Mbeya...

    Polisi walijuaje kama ana mzigo tumboni?
  9. S

    Maiti Akutwa na Kete 65 za dawa za Kulevya mkoani Mbeya...

    Hivi kupeleka mzigo Malawi tu lazima umeze? si unabeba tu kwenye begi la nguo ama?
  10. S

    EXCLUSIVE: Download Rasimu ya Kwanza ya Katiba Mpya hapa na toa maoni

    Jamani, Kwanza kabisa bunge kubwa sana tuwe na wabunge kama 50 tu nchi nzima. Wakuu wa mikoa piga chini kabisa, wakuu wa wilaya ondoa wanamaliza pesa zetu. Weka mtu mmoja kama administrator wa mkoa mzima ambaye sio Mwanasiasa atateuliwa kutoka serikalini awe na ujuzi wa Uchumi, uhasibu...
  11. S

    Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

    Sioni tatizo hapo kila mtu na mawazo yake
  12. S

    Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

    Tanzania ni nchi kubwa mkuu sasa tuvuke twende Rwanda tunatafuta nini?
  13. S

    Uliza lolote kuhusu mgogoro ndani ya DRC hasa mapigano kati ya M23 na FARDC

    Mimi mwenyewe nashangaa mkuu hivi mtu anapataje cheo cha Brigedia jenerali kwenye jeshi la waasi, wale wote si wanamgambo tu hahaha
  14. S

    Salute to My President!! Lakini Tujifunze na Tubadilike Now!!

    Membe na Sitta walikurupuka. Walitakiwa wasubiri rais aseme ndio wao walete kauli zao kuliko kuwa na kimbelembele. Sana sana Sitta anapenda sana publicity!
Back
Top Bottom