yule jamaa aliyekuwa green guard kuna mahali alisema kwa uhakika kabisa kwamba tindikali walim mwagia wenzie baada yakuwadhulum mgao. So wameona wanaweza wakaathirika mbele ya safari.
CHADEMA fanyeni juu/chini mhakikishe usalama wa huyu kijana. Yaani ni jasiri. Katika kipind hiki hata mtoto wa darasa la 1 anajua serikali/ccm inang'oa kucha, meno bila ganz halaf unajitokeza hadharan namna hii?
Siungi mkono haya anayoyafanya mama yetu. Yaani ni mapema mno. Kwa nini asiwe low profile kama mama yetu Maria Nyerere. Haileti picha nzuri kwa chama ambacho kila mtanzania anaona ndiyo tumaini lililobaki. Ajitofautishe na hii mike ya magamba iliyotangulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.