MAGAMBA ni MAGAMBA TU. Magofuli hawezi kuongoza kwa maamuzi yake binafsi bila mwavuli wa chama.Lazima tufike mahali tuwe na akili Timamu. JK alipokuja kwa mara ya kwanza tulimuona ni mtu mzuri sana lakini mliona matokeo yake.Kwahiyo siamini kwamaba magofuli atakuwa na eneo lake nje ya CCM...
Hayo ni mawazo yako tu wewe endelea kufikiria. Kwani wale ambao walifia kwenye vita ya Kagera serikali inasaidiaje familia zao? Acha upumbavu usifikiri watu wote humu ni wapumbavu.Kwani Lema alihusika kuua hao watu au ni serikali hiyo hiyo ya CCM ilihusika. Ulitaka Lema awafufue? Hakuna wakina...
Usiseme ameiua Arusha. Sema ameiua CCM wewe vipi? Lema bado ni jembe letu ninamkubali kama vile ndo kwanza kaanza ubunge. Eleza mambo aliyoyaua hapa Arusha basi tuyaone. Acha kiherehere.
Wanazuoni mambumbumbu hatuwataki Tanazania,hamfai hata kuitwa wanafunzi wa shule za kata kwani tutakuwa tumewapa heshma kubwa sana.Nendeni huko na njaa zenu.Kwanza wanazuoni kama nyinyi mnatakiwa mnyongwe kabisa kwasababu ni mbegu chafu.
Ha ha ha eeh ukiona hivyo ujue nimegusa penyewe.Kwani wanaume wanobaka au mashoga ni wangapi ukilinganisha na wanawake wanaotembea nusu uchi hapa town na wapenda dezo.Pole sana naona mwiba umechoma penyewe siitaji kuongeza dozi zaidi.
Tatizo lenu hampende kukosolewa mnapenda tu mbembelezwe.Ikikuwa ni viti maalumu au nafasi nyingine za ulaji vinanadiwa wanawake humu usingelalamika.Lazima muongeleke humu kwasababu mnaongoza kwa kuvunja maadili kwenye jamii na kuwaingiza wanaume wengi kwenye dhambi bila wao kutaka kutokana na...
Angekuwa ananukuu vitabu vya waandishi wengine ungeridhika?Basi utafute kitabu cha mwaandishi umpendaye ili wakati wa kipindi awe ananukuu kwa ajili yako ili uridhike.
Ha ha ha ha hapo mnajichanganya tu.Mti wenye matunda ndio upigwa mawe.Wanawake wa kichaga sio watu wa kwenda ngomani.Ndio wanawake wajanja katika kulea famila na utafutaji.Mili zetu haziwakandamizi wanawake kama yalivyo makabila mengine.Ndilo kabila la kwanza kwa wanawake wengi kwenda shule.Sio...
Mbona unajikanyaga kanyaga kama mwanamke anayetongozwa oh mara uwekezaji unakubalika dunia nziama oh sheria zetu zinaitaji marekebisho.Kama unaona sheria zinaitaji marekebisho unachopingana na mbowe ni nini au umeshazoe mambo ya uchochoro kama kawaida yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.