Very true! Mi huwa nawashangaa watu. Ana miliono 200 bado ati anakwenda kwa mganga aziongeze hiyo ni akili kweli? Huyo acha wazichukue wenye akili maana fedha nyingi hivyo hazitakiwi zikae kwa mtu -------- kama yeye.
Hapajawahi tokea ktk historia ya nchi mtu wa OVYO kama Ilunga. MWONGO, MZUSHI, MCHOCHEZI, ROHO MBAYA, MBAGUZI, MDINI, ...... Kama hili gaidi haliko MOTONI basi huo moto haupo.
Hiyo ni kauli ya Mh. Augustano Eliyatonga Mrema wakati akitoa maoni yake kwenye mahojiano na TBC katka Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Hayati Edward Moringe Sokoine. "Wapo viongozi hata wakifa leo hatulii! Tulilie nani? Tunamkumbuka kwa lipi?" Alisema Mh. Eliyatonga.
Sina hakika Mh. Mrema...
Haikuwa kazi ya JK kuunga mkono au kupinga Rasimu ya Katiba Mpya. Hiyo ni kazi ya wajumbe wa Bunge la Katiba. Kazi yake ilikuwa KUZINDUA BUNGE MAALUMU AFU ACHAPE MWENDO, PERIOD!
Walahi hatoki na kitu mlangoni! Haki yake ni kubeba soda tena kwa tumbo aende zake. Hakuja kuchukua chupa wala kizibo. Hiyo bahati ni malipo ya Mungu kwa ukarimu wa mwenyeji. Ni cha aliyetoa hela akanunua soda. Promotion hizo huwa zinawalenga wanaotoa hela kununua soda si vinginevyo. Sasa kama...
Hicho kichwa cha habari hii ulimaanisha kuandika kilivyo au ulikuwa na haraka? Jamani, kiswahili mbona kinaeleweka vizuri tu humu, kwa nini mnajitafutiaga matatizo ya bure?
Wapo viumbe hai (wanyama) walioumbwa kipekee na hawajamiiani kama njia ya kudumisha uzao. Wanyama (viumbe) wa namna hiyo hawakuumbwa jike na dume bali wameumbwa wa aina moja mwenye mbegu za kike na kiume. Sivyo walivyo tausi. Hawa wameumbwa dume na jike. Tausi dume kwa kiingereza anaitwa...
Ha ha ha ha haaaa! Nyetk umemstukia huyo jamaa, siyo? Imenikumbusha enzi fulani za utotoni. Mnapandishwa gadhabu hadi mnatoana manundu halafu mijamaa hata haiamlii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.