Katika Kipindi cha Mboni Show Siku ya leo Topic ilikuwa ni kuhusu Wanaume Kujichumbua kwa kutumia Mkorogo, katika kipindi hicho Nyoshi El Sadaat Alikuwa ni mgeni mmoja wapo na Alipoulizwa kama anatumia Mkorogo Akakubali na Kusema alianza kutumia kutoka mdogo akiwa na umri wa miaka sita
Yani...
Usikurupuke mkuu.
Sumalee kazaliwa dar, maisha yake yoooote kaishi kariakoo, primary kasoma mchikichini na mpaka sasa bado anaishi k'koo.
Huwa anasema katokea Tanga coz ndo asili ya baba yake na wazazi wake walihamia huko baada ya kustaafu.
Chukua hiyooo.....
Pole Hakunaga, litarudi tu...
5. Swali: nani kahusika kumteka dk. Ulimboka
Jibu: sailensa
6. Swali: kwa nini umetaja zimbabwe kama sehemu ya jamhuri ya muungano wa tz
Jibu: jasti siripu ovu ze tangi
Vyeti vya kufoji, assignments za degree zote unafanyiwa, bingwa la kuiba mitihani ya form four kwa ajili ya shule yake,....... What more trash is there about this guy?
Ndo maana hata hajui maana ya supplementary (exam), yeye alijua ni moja ya masomo yanayofundishwa chuo cha ualimu Mpwapwa...
Duh, umenikumbusha nilivyokuwa form six nilipitiliza siku 4, sikuwahi kufanya tendo ila nilikuwa na boyfriend.
Hiyo stress yake sasa, halafu nilikuwa nakaribia pepa la necta. Ila nashukuru Mungu sana, siku ya tano nikawapata wageni wangu na haijawahi kunitokea tena. Nikichelewa au kuwahi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.