kiongozi bora hajibu maswali kwa jazba ila wewe unawajibu watu vibaya,unaulizwa swali na mtu binafsi unajibu mbona chadema wameshindwa kuwa makini Baba jiamini,kuwa makini na ufikirie sio unakurupuka yawezekana kutokana na kauli zako zimekokosesha embu badilika usikurupuke.
kwa ushaidi huo anaoutoa inaonyesha shaidi ajiamini vilevile ni aibu sana kwa shaidi wa nne kukataa kutoa ushaid inaonyesha jinsi mshitaki alivyokuwa anatafutiza mashaidi mwisho wa siku wamemtolea nje,na kuamua kufunga kesi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.