Habari zenu wana JF, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, kijitonyama, mwenge na kwingineko kwenye usafiri mzuri. iwe ya vyumba 2-3, iwe ndani ya gate. unaweza nsms 0717 42 11 96. shukrani.NB: kuhusu bei tutaelewana katika simu.
doctors plaza heart clinic ni hospital inayotibu magonjwa ya moyo na pressure, pia wana maabara ya kisasa. wanapokea bima ya Afya. simu ni 075 967 4616 au 071 967 4616.
HAbari njema kwa wote, sasa Doctor's Plaza heart Clinic wanapokea bima ya fya NHIF na Resolutions, hivyo kama una umwa usisite kupata matibabu. tel 075 967 4616 au 071 967 4616.
Karibuni!!!
kwa maelezo yako yaonyesha jinsi ulivyo shiba (mnene), cha kufanya ni kupunguza mwili. hiyo michilizi huitwa striae. angalia unene ni hasara, kwani matokeo yake ni magonjwa kukuletea.!!
Bw Mgange, ningelikushauri uende hospital, wakakuangalie, nafikiri tatizo lako kubwa liko kwenye uti wa mgongo hasa lamba-sacral area. kama uko dar nenda karibu na protea hotel kuna clinic inamaspecialist wa aina zote, piga simu 07196746616 au 0759674616
Habari zenu ndugu! kuna Clinic mpya ya magonjwa ya moyo imefunguliwa pale Ocean road, sea view, karibu na Protea Hotel (court yard), si mbali kutoka Serenda bridge. inaitwa Doctor's Plaza heart clinic. contact ni +255 22 21 25 917 au 0719674616 au 0759674616 emailinfo@doctorsplaza.co.tz
Habari zenu ndugu! kuna Clinic mpya ya magonjwa ya moyo imefunguliwa pale Ocean road, sea view, karibu na Protea Hotel (court yard), si mbali kutoka Serenda bridge. inaitwa Doctor's Plaza heart clinic. contact ni +255 22 21 25 917 au 0719674616 au 0759674616 email info@doctorsplaza.co.tz
NB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.