Hii ni fact ambayo inabidi aieleze, huwezi kumshawishi mtu kuwa mvuta bangi aliyefukuzwa kimbia NCCR au yule mzinifu mwizi wa wake za watu aliyekimbia CCM kwa kutokupitishwa kwenye kura za maoni wana mapenzi ya dhati na CDM kuliko ZZK ambaye amekulia humo!!!!! Huu ni uwendawazimu at its best.....
Ngugu wanaJF,
Mtandao wa gazeti tajwa hapo juu limezuia habari zake zikikopiwe, hii imekaaje? mbona mitandano ya magazeti yote hapa nchini na sememu nyingi katika dunia hii hawana sheria za ajabu kama hizi? hali kama hii nimeiona katika mitandao inayouza vitabu na majarida ambayo kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.