Wakamatwe ugoni mwanaume na mwanamke, mwanamke ataambiwa malaya. mwanaume ataambiwa mkali. mfumo wa jamii unampendelea zaidi mwanaume. ipo haja ya jamii kuelimishwa kuwa, kosa halichagui jinsia. wanaume wanapaswa kukwepa vishawishi vinavyoweza kuwatumbukiza ktk dhambi ya uzinzi km ulevi, makundi...
vazi zuri ni lile linaloweka conducive envinronment kwa jamii husika. ni vizuri CBE wakijenga mazingira hayo. wenzao SAUT wamefanikiwa kwa nini wasiwe wao pia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.