si mbaya saana maana mashemeji wa siku hizi huwa chanzo cha matatizo ongea na ndugu zako namna ya kuishi hapo home ila kwa hili kupunguza jazba tu! kujipanga upya maana bwana mkubwa hili ni pigo kwake hawezi kurudia tena na maisha yaendelee
mbezibeach
{....NI FULL MINYENYERE JAMANI....} ndugu thibitisha neno hilo usiwaache watu na shel bulee ukweli hapo big-up mpendwa ana speed ya kutisha tupo hapa kwaajili ya kuelimisha waungwana kuponda tu! na tukaishia hapo haisaidii tuitendee haki jamii forum kwa kuelimisha mwisho wa siku...
waungwana ukweli ni kwamba mwanamke ni kama mtoto kwa mwanaume huwezi ukaishi nae maisha yote bila kumzibua japo mara moja ambayo hutarudia tena ibaki kukumbukwa kwake kuwa siku moja ulimpiga so, inabidi awe na tahadhali usirudie kumpiga ukweli unabaki pale pale ustarabu wa mwanamke unamapungufu...
ningependa kujua sheria hii ya binadamu kugonga treni na kuilipa ipo dunia nzima? Ukweli inasikitisha sana maiti inapozuiwa kulipa kwanza ghalama za kugongwa kwa treni ndipo waruhusiwe kuzika. Ubinadamu upo wapi katika hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.