Kulingana na khali ilivo hivi sasa japo hawasemi bt tayar wanajuta ni kwanini wamekutoa bungeni, ila wakat wao umefika na kauli yao yakusema upepo unavuma na utapita sasa hu upepo wa kipindi hiki haukatiki na haupiti unaepuliza tu nguzo za CCM mpaka zikatike na sasa zimebaki nguzo chache upepo...
kulingana na khali harisi ilivo kuliko kushambuliwa na CCM ikakutawala bora ukashambuliwa na UKIMWI.Nduli CCM sio atatumaliza jaman tupambane nae mpaka mwisho.
Kiujumla kwa sasa CCM hawana chao cha msingi ambalo wanaweza fanya waludi nyuma tu CHADEMA sasa tuongoze nchi,vile vile watanzania sasa wamelewa na kutambua ya kua wanapotea kwa chama hiki hivo bas hasira zao zinaoneka kwa sasa yakua wamechoka na sera hambazo hazibadiliki.HONGERA SANA CHADEMA...
CCM wakae mkao wa kwaheri kwasababu wametuchosha na hii pia ni mfano tosha kuwa sasa watanzania wameamka na kuona waendako, kwaufupi leo uchaguz mdogo wadiwan kilumba mwanza umefunika waweza fikiri labda ulukua uchaguz wa mbunge vile. hivo bas kwa wale wote ambao hamjaamka jaribu kuamka...
habar ya miangaiko ya kimaisha ya kila siku nasikia JF,JF so leo nimeonabora niingie kwan nimeelezwa nawezatoa dukuduku zangu mbalimbali ambazo zinazunguka jamii kiujumla.
jamani nikaribishen na ninaimani nitapata ushirikiano wenu.:peep::peep:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.