Wanajamvi Habari za mihangaiko ya kupambana na maisha. Naomba msaada wa taarifa ninapoweza kupata drippers kwa ajili ya Kilimo cha bustani eneo la ekari mbili
Nionavyo mimi mwakyembe kaandika jibu swali halijui(kadesa). Kwanza angeweka utaratibu wa kuwa na community toilets kadhaa kwa kila njia either kwa serikali kijenga au kushirikisha wadau wengine. Kukataza watu wasichimbe dawa ghafla bila njia mbadala naona ni kituko, tutaendelea kama kawa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.