Ultrasound inatumia mawimbi ya sauti kuonyesha matatizo mbali mbali kwenye mwili wa binadamu
X- ray inatumia mionzi vile vile kuonyesha baadhi ya magonjwa kwenye mwili wa binadamu ila inategemea unahitaji kuona nini. Fani inayotumia zana hizi na nyinginezo kutafiti magonjwa ya binadamu inaitwa...
Rais agewataja wauzaji wa sembe aliosema anawajua na kuwachukulia hatua za kisheria angeokoa wengi kwenye janga hili! Kuwaita ikulu mi sioni kama ni kutatua tatizo. Wengine watatumia ili waarikwe ikulu. Rais akate mizizi ya madawa aache siasa kwenye swala hili nyeti
Pole ndugu! Mi nilipia huduma ya kuwekewa umeme toka mwezi wa tatu hadi leo sijapata! Huu ni uhuni mkubwa kwa shirika hili jizi la uma. Wanaboa sana tanesco
Kuna msemo unasema ukisusa wenzio twala! Timu kumi na tatu zimekubali unategemea nini? Hahisi yanga watogomea mechi watakazo kuwa wenyeji tu, ugenini hawatakuwa na ubavu! Au sheria zinasemaje?
Hiki chuo ni binafsi au kipo chini ya serikali? Inakuwaje hakitambui sherehe zinazotambuliwa na serikali kama nane nane? Eti kesho wanafunzi wapo masomoni. Naomba ufahamu wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.