Masaa ndio hayo kabla wazee wa ngindo hamjanyonya, kabla wazee wa moshi hamjapuliza, kabla wazee wa chupi hamjazitoa kwenye viwiliwili vya wahusika katika kusherehekea ujio wa mzee 2018 tutumiane salamu za heri na fanaka kwa mwaka mpya ujao.
Mi naanza na mashabiki wote wa Chelsea na wapenda...
Wahenga husema ujana maji ya moto, japo sijui kuni na sufuria ni nini na nini kati ya uzee na utoto.
Mwaka 2007 tarehe kama ya leo, mida ya saa kumi na moja nikiwa natoka kwa "mchomeshaji" kupata dawa na machozi ya simba narejea nyumbani.. Nilikua nimetinga na mkononi nina chupa ya konyagi...
Monte's mkongwe tu..
Mwanetu Haruna Moshi Shaaban Mawela "Boban" akitokea benchi anaifungia timu yake ya Friends Rangers goli la pili na la ushindi dhidi ya Ashanti united na kuivusha timu yake kwenda hatua/raundi ya tatu.
Gumzo ni muonekano mpya wa boban akiwa na rasta "dreadlocks" mithili ya...
Imepita miaka 17 tangu nikutane na kupotezana na huyu Dada.
Pia ni miezi kadhaa toka niondoke nchini na kwenda Moja ya nchi za Afrika Magharibi kikazi, nimerejea nyumbani mwisho wa wiki iliyopita na nimeripoti kazini jumatatu ya Jana, tukio ninaloenda kukuhadithia limetokea Leo hii na muda huu...
Sio sababu ya kaya ndio mseme vijana wanakua wezi... Sio sababu ya kaya ndio mseme wabunge wanatukana... Sio sababu ya kaya ndio mseme Mimi Malaya.. Sio sababu ya kaya mseme vijana wamepoteza dira.
Kemea Tafsiri Mbaya ya Kaya, Kutokana na Tabia za watu.
Sent from my BRAIN
Udumu ujamaa..
Hip Hop ni Utamaduni wenye nguzo zake, njia moja wapo ya uwasilishaji wa utamaduni huu ni muziki.. Muziki wa RAP japo wengi tunaujua kama muziki wa Hip Hop..
Utamaduni huu Uliingia Tanzania mwanzoni mwa miaka ya tisini, je toka uanze kuishi katika utamaduni huu, ni...
Karibu katika Uzi maalumu wa kilabu ya mpira wa miguu ya Ndada toka Mkoani Mtwara.
Jina la timu: Ndanda Fc
Jina la utani: Ndanda Kuchelee
Uwanja: Nangwanda Sijaona
Watazamaji:15000
Mkoa: Mtwara
Mdhamini: Kampuni ya Matairi ya Binslum
Habarini wadau.!
Na0mba msaada wenu katika hili, mimi nahitaji simu aina ya NOKIA EXPRESS MUSIC.... Na0mbeni Ushauri wenu ni aina ipi ya XP-MUSIC Ambay0 ni nzuri kwa ma2mizi yafuatay0.!
1. Mawasilian0
2. Internet nzuri
3. Music acess0ry nzuri
...na menginey0.! PIA KWA WALE MNAOFAHAMU...
Wandugu p0leni na majukumu...
Kwa yey0te anaye weza kunipa msaada ktk swali hili afanye hivy0 tafadhali...
''If an aqueous solution boil at 100.5'C, at what temperature does it freeze? (For water Kb= 0.512'C/m and Kf= 1.86'C/m)...
Shukrani kwanza.!
Hi, jf memberz plz na0mba kwa yey0te anayejua jamb0 l0l0te linal0husu shule ya 0ld M0shi a.k.a m0shi sec, je ip0 wilaya gani, je ktk hy0 wilaya ni mjini 0r vijijini na mengney0 mabaya kwa mazuri.!
Hi, jamani wadau wa cm yeyote mwenye utaalamu wowote juu ya cm ya Nokia 6300 single line toleo la mwaka 2007 anisaidie... Coz my 4ne cku hzi ni nzit0 xana ktk mambo ya mtanda0, pia mem0ry card huwa haionekani katika menu ya cm wakati ip0... Help me plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.