Shetani alipoharibika mbele za Mungu na kiti chake cha enzi alichoumbwa nacho kiliharibika kwa huo uovu hivyo alitupwa pamoja na kiti chake. Rejea UFUNUO 13:2.
Huwezi leta mabadiliko kwa kiti cha enzi kilicho kwisha kuharibika kwa kumuweka mtu msafi; ataongoza kwa masharti hicho kiti.
Usukuma na Uluthery haya yote ni matatizo. Ninamsifu Lowasa kwa maana hajaomba wampigie kura.
Ulitaka aombe msaada wa maombi kwa waislam wakati si imani yake.
Watanzania tunataka mabadoliko, siyo polojo za fisadi kila miaka mpaka wengine tunazeeka tukiwa adicted na sera za hiyu fisadi huku hatupigi hatua. Lowasa ndiyo mabadiliko basi.
Hujaelewa, amesema CCM ni choo. Lowasa ni kinyesi ndicho kilicho hamishiwa chumbani.
Hata hivyo choo huwa hakiishiwi na vinyesi, ni bora tukachagua kinyesi maana ni rahisi kusafisha ukilinganisha na choo.
Siwezi umia kwa ajili ya Slaa asiyesoma alama za nyakati. Watanzania tunataka mabadiliko, tumepoteza miaka zaidi ya 50 hiyo ya Lowasa ni michache kuliko ya kindi la CCM.
Paulo alikuwa muuwaji lakini Mungu alimsamehe na kumtumia kwa viwango vya juu kuliko mitume wengine.
Leo wewe Padre tu...
Siwezi umia kwa ajili ya Slaa asiyesoma alama za nyakati. Watanzania tunataka mabadiliko, tumepoteza miaka zaidi ya 50 hiyo ya Lowasa ni michache kuliko ya kindi la CCM.
Paulo alikuwa muuwaji lakini Mungu alimsamehe na kumtumia kwa viwango vya juu kuliko mitume wengine.
Leo wewe Padre tu...
Maana ya Brudoza au Tinga tinga ni kitu kisicho na maono chenye kutegemea nguvu pasipo kutafakari juu ya maamuzi husika.
Tunahitaji kiongozi mwenye maono ya mbele zaidi kwa taifa letu.
Anaposema picha ni za kutengeneza maana yake anavishutumu na kuvidhalilisha vyombo vya habari vinavyo riport matukio ya kampeni kwa uaminifu.
Hili siyo kosa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.