Natafakari tu;
Viongozi wa ACT Wazalendo wangekimbia nchi baada ya uchaguzi!
Viongozi wa ACT Wazalendo wangerudishwa nchini kwa Msaada wa Ikulu (kufuta Kesi).
Viongozi wa ACT Wazalendo wangelipwa mishahara yao na marupurupu (Tundu lissu).
Zitto angeachiwa huru na siku hiyo hiyo kuonekana Ikulu...
Na Kwako ww , Unasumbuliwa zaidi na huyo mwenye chama kuliko Watu wa aina ya Jaji Biswalo. Yaan huyo mwenye chama kasababisha Unga, mchele, Nauli na mafuta vipande kwahiyo anakukwaza sana.
Vijana wa Chadema mnashida sana
Huyu Mbowe alipoona moto mkali alikimbia Nchi, Dubai na South Africa kutafuta Fursa za Biashara na kuacha Siasa, ameona kumepoa amekuja tena kuwekeza Kwenye Chama.
Kibwagizo cha Hotuba Ya Mbowe "NEVER AND NEVER AGAIN" ame Copy kutoka Katika Hotuba ya ZITTO aliyoitoa Tarehe 26/3/2021( Hii HAIPASWI KURUDIA TENA TANZANIA)
Kwa Heri John Magufuli, Buriani Tingatinga
Zitto Kabwe
Imenichukua karibu wiki nzima kuandika, japo kidogo, kukuaga Rais Magufuli...
Hotuba ya Mbowe yote inamambo Matatu.
✓Kuomba Huruma yake Binafsi na chama chake .
✓ Malalamiko
✓ kuelezea Hofu waliyonayo kwa Mh Samia.
✓ na Zaidi Amecopy mambo kadhaa kutoka kwa Hotuba za Zitto ikiwemo Kibwagizo chake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CUF inavunja ngome ya ACT WAZALENDO ZNZ ? kwa Maana hiyo ile CUF tuliokuwa tunaijua haipo tena [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Faki yule kilaza ndio amekuwa Naibu Katibu Mkuu Znz? Haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kutimiza matakwa yako, Umemtaja MShauri Mkuu na kumuacha Makamo Mwenyekiti Bara Mama Dorothy Semu!!Umemuacha Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu Joram Lehwabura Bashange na Kumtaja Naibu Katibu Mkuu Znz Ndugu Nassoro Mazrui ! Unashangaza Sana
Unataka Kuturudisha Nyuma katika Mapambano kwa Miaka...
Kila inapojadiliwa nguvu y upinzani lazima ccm povu liwatoke , unajisahaulisha ilipokuwa nccr, ilipokuwa TLP , Unatamani hilo litokee tena kwa CUf !!! Ninachomuomba mwisho mbowe awe kinara sahihi wa kusimamia mabadiliko asikubali wapuuzi km lipumba na kundi lake kuwatoa katk lengo.
Habar wanajopo.
Wanajopo kama mnavofahamu kampeni za uchaguzi mdogo zinaendelea katika kata mbali mbali nchini, Jana kamanda wa anga,Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh Freeman Aekael Mbowe alizundua kampeni kata ya Saranga, Binafsi niliona mafuriko ya watu, watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.