We would have seen it in Angola, Nigeria or Equitorial Guinea, Gabon and the list goes on............ Kupata kwao mafuta ndio kutatufanya tusijue hata la kuwafanya. Imagine The French govt pamoja na ukubwa na umakini wake lakini wameifanya nini elf waliyothibitisha kabisa kwamba imekuwa ikihonga...
If we had a govt for the ppl, working for the ppl. Tungekusanya ushahidi na kubring these puppets to book halafu hao EO tungewafungulia pia mashtaka kwa wizi, utapeli na ujasusi hapa hapa nchini na hiyo heritage ifukuzwe na ikiwezekana kutaifishwa. Lakini tukumbuke kwamba hili ni genge la...
If we had a govt for the ppl, working for the ppl. Tungekusanya ushahidi na kubring these puppets to book halafu hao EO tungewafungulia pia mashtaka kwa wizi, utapeli na ujasusi hapa hapa nchini na hiyo heritage ifukuzwe na ikiwezekana kutaifishwa. Lakini tukumbuke kwamba hili ni genge la...
Well.. we need to talk about these people and what we gonna do about them and their political puppets in the former Mkapa's administration. Kwa sababu sasa wameokoka na kuwa wafanyabiashara wazuri tuwaachie wachimbe na mafuta baada ya kuchota dhahabu yetu? Kwa vile nia yao nzuri ya kutusaidia...
kimsingi sensa huwa ni kujua idadi wa watu,mali zao,pamoja na mahitaji ya msingi ktk jamii.Nitofauti na inavyotarajiwa watu hupoteza muda wa kuhesabiwa kwa mwamvuli wa kuja kuwa saidia hususan huduma za afya,barabara,maji,umeme,shule safi,kuboresha bei ya chakula,nk.Kwamba huduma hizo zote...
One person once said 'The thinnest title in this world is on what men know about women'. Akimaanisha kitabu chenye kurasa chache zaidi kile ambacho kinaeleza wanaume wanajua nini kuhusu wanawake!
Lengo hapa ni kujua hasa ni mambo gani ambayo mwanamke akifanyiwa na mwanaume ataona amethaminiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.