Sijui tu ila leo wacha niseme, hua nafurahishwa sana na michango yako, namna unavyoandika inaonyesha una hofu ya Mungu na umelelewa katika maadili sijui nje ya keyboard ukoje ila maandishi yanaashiria hivyo....God bless you
Na upweke uuwiii, kuna saa unatoka kwenye mihangaiko and you wish hata mtu akupigie simu akwambie pole na hakuna, mchungaji wangu kaniambia J.Lee tafuta binti aliyemaliza darasa la saba ukae nae usikae peke ako mwanangu....nikacheka tu
Wanamaudhi sana aisee hapo unavumilia ukichoka ni kufunga kamba za viatu na kutambaa na njia, binafsi kuna kaka mmoja alinionaga mjinga kweli namtafuta hapokei simu, akipokea majibu ya hovyo, matusi na mi si mtu wa ugomvi nilivumilia sana nilipokuja kugeuza kisogo haki sipokei simu wala text...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.