Ni kweli serikali inapuuza madai ya walimu hilo halikwepeki, rejea kauli ya rais baada ya mgomo wa walimu "madai ya walimu hayalipiki". Kwa nini madai ya walimu hayalipiki wkt ya watumishi wa kada nyingine yanalipika. Kitu kinachotakiwa kufanyika ni walimu kuuza bidhaa "elimu" kulingana na uwezo...
Kuandamana kwa ajili ya ubishi wa watoto ambao haujafanyiwa hata utafiti ni kuidhalilisha dini, hata kama walighadhibika walipaswa kufuata sheria. Kwa mambo yalivyoenda inaonesha wazi kuwa hawa viongozi wa dini walikuwa na ajenda nyingine nyuma ya pazia.
Yamkini wewe ni miongoni mwa mafisadi mnaotafuna hela za watanzania maskini ambao wanavuja jasho huku watanzania wanakufa na kulia na hali ngumu ya maisha.
Mbona hayo magamba yanadaiwa pesa nyingi sana na watanzania, na walikua wapi kumdai siku Ole Millya sik zote mpaka wamesubiri ahamie CDM. KWELI MFA MAJI.............
Viongozi wetu wanatakiwa kuelewa kuwa wananchi ndiyo waajiri wao, haiwezekani na wala haingii akilini kiongozi mkubwa kama raisi kuchukulia masuala mazito kama haya kirahisirahisi tu eti anaita "huu ni upepo utapita tu". Nafikiri watanzania tunahitaji kutafakari sana juu ya kiongozi wa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.