Anatakiwa mwalimu wa Biology/Chemistry na Geography(CBG).
Ataajiriwa kama part time teacher
Awe anakaa Kigamboni (Kuepuka ghrama za usafiri). Ajira iko Kigamboni.
Awe na shahada ya chuo kikuu au Diploma ya uwalimu.
Mwisho wa kupokea maombi ni 20/12/2017
Tuma CV na Vyeti vyako Kupitia email hii...
Kujenga mnara kufika mbinguni kwa Mungu? :D
Hayo yalikuwa mawazo ya Kipuuzi, ndiyo maana kazi
ikastishwa mara moja ili waendelee na kazi zitakazowaletea
faida na si kupoteza muda, nguvu na rasilimali.
Swali:Kwani Mungu anapatikana wapi?Anapatikana juu? :D:D
Kwanini ziwe nguvu za giza zisiwe nguvu za Mungu?Kama tunazungumzia kutembea juu ya maji,mbona Yesu mwenyewe alitembea juu ya maji?Kuna watu wa Mungu wanafanya miujiza mpaka unashangaa kwamfano,mtu alizaliwa hatembea lakini anaguswa akiwa na miaka 50 anatembea.Kama mmoja akitambua namba yako ya...
Waungwana hawajigambi kwa vitu walivyotengeneza.Vitu vyenyewe hujishuhudia hata watu walikuwepo.Ingekuwa hivyo akina sir. Isack Newton etal wangewacharaza hata watu viboko kuonyesha vitu walivyogundua.Hakuna aliyejenga daraja hapo wala barabara ni wakandarasi.
Kati ya vitu vibaya dunia hii ni fear.Ukisharuhusu fear katika nyanja zote utakuwa useless.Fear hutokana na mambo yaliyopita au yajayo.Basi usifikirie uliyoambiwa au itakuwaje in the future.What you have to deal with is that of present moment.Hakuna kinachoshindikana chini ya jua.Chamsingi ni...
Alikuwa anashindana na engineer hivi anakaa Arusha.Alikuja wakati wa uchaguzi.Wakati mwingine kura za maoni sio determinant.Kuna watu wengi wasio chama kinachoendesha kura za maoni.Tukubaliane kuwa CHADEMA kuna information nyingi.Nimeamini walipomteuwa Ansbert na watu wengi walikuwa wanalisubiri...
Hivi kipaumbele kingekuwa kuwekeza katika nyumba au kuwekeza katika watu.Inawezekana CHADEMA kingewekeza kwenye nyumba kuliko watu,kazi waliyoifanya kwa ustadi mkubwa hata huyo Lowasa labda asingejiunga nao.Tafakari tena.
Kama Ansbert Guluma alivyoacha kazi akaenda kujichimbia kijijini Kamachumu.Nasikia anafahamu misiba yote inayotokea jimbo zima pamoja na sherehe.Na lazima ahudhlie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.