ukimchungulia mtu anajisaidia mama yako anakatika titi.
nilikua nikimwona mtoto wa punda mbiooo..
kwenda kuoga kisimani then tunacheza mpaka giza then ha2ogi, kipigo cha hapo usisme...
Njemba 1 ilikua imelewa, ikawa inatembea road mara ikaona taa 2 mbele, kulia na kushoto, ikasema hawa bodaboda vp; ikasimama katikati ya road; da kushangaa kidogo kumbe ni bonge la fuso limeshika break mbele yake!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.