Sipo (au Upo...)
acha utani.. hivi unafikiria zile div isiokuwa namba ya kuhesabia (sifuri) zilivyokuwa nyingi unafikiria mwisho wake ni nini...
mie mwaka wangu '83. div 1 = 2, div 2 < 10 (i blv 7), div 3 < 22 (nafikiri ni namba sahihi), div 4 sikumbuki (plenty) na div 0 > 40 kati ya (mkondo...
class of '80-'83. mmmh! hebu nikumbuke jinsi lile zogo la foleni za kande (lunch) pale jikoni na mzee 'kijicho' na fimbo kuhakikisha hakuna anaerudia au kula 'anti-log' kupata kande.... ooops nimesahau na ile kazi ya kubeba mawe toka mtoni hadi mabweni (ya wasichana) wakati huo ndio yalikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.