naomba msaada mwenye waraka wa unaohusu categorization nina shahada ya elimu halafu nina MBA yaani master of business administration,wamezingua kunibadilishia kada niliomba kufanya kazi kama afisa biashara ndani ya wilaya,wakasema categorization ni kwa BACHELOR tu na si MASTERZ
Mama mmoja leo ameondolewa katika semina inayoendelea hapa nchini kisa ananyonyesha hivyo basi hawezi kumudu shughuli za sensa. VIPI SHERIA YA KAZI INASEMAJE HAPO WATAALAM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.