Anaandika Tundu AM Lissu, MB
Ndugu na marafiki zangu popote mlipo,
Wananchi wenzangu,
Salaam,
Leo ni tarehe 7 Septemba, 2019. Majira ya mchana wa siku kama ya leo miaka miwili iliyopita, nilitoka kwenye Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma, na kuelekea nyumbani...
Wakati anauzwa kwenda kujiunga na Juventus mwaka 2012 wengi walisikitika sana. Walisikitika kumuona kijana mweusi mwenye kipaji kikubwa akiondoka kwa sababu rahisi. Wakati ule Pogba alitoa sababu kwamba anaondoka kwenda kutafuta sehemu atakakopata muda mwingi wa kucheza.
Kijana huyu wa...
Tangu asajiliwe kutoka klabu ya Lile ya Nchini ya Ufaransa kujiunga na Chelsea msimu wa 2012/13 Eden Hazard amekuwa mchezaji bora sana. Pamoja na kutoka klabu ya kawaida kwenye ligi ya daraja la chini lakini alionyesha kwamba ana kipaji. Tena kipaji kikubwa.
Nimemuangalia Hazard mwaka huu...
Inategemea unalalaje. Inashauriwa kulalia ubavu wa kulia zaidi kuliko kushoto. Sababu kuu ni moja, ubavu wa kushoto ndiko moyo ulipo na ndio maana ukilalia ubavu wa kushoto kwa muda unachoka. Jaribu hii utaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwili wa binadamu unafanya mambo mengi ya kibaiolojia ambayo mara nyingi ni vigumu kuyaelewa.
Mwili una mifumo mbalimbali ya ulinzi ambayo inatulinda na hatari zinazoweza kutudhuru. Mifumo hiyo inatulinda masaa 24 ya siku, Siku zote 7 za wiki, katika mambo yote yanayoweza kuhatarisha maisha...
Naomba na mimi kuchangia mjadala huu kidogo. Na mapema kabisa niwaombe radhi wote nitakaowakwaza, kwa sababu nafikiri nitakachosema kitawakwaza wengi humu.
Nimefuatilia mjadala wa yaliyojiri Korogwe Vijijini na nikiri nimeshuhudia utoto wa kisiasa wa kutisha na kusikitisha sana. Nimeona kile...
Nadhani ndio kinachofuata. Sidhani kama Mou anaweza akawa amebakiza mbinu za kushidana na makocha wa aina ya Pep, Klopp na Pochetino
Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa inasaidia hilo halina ubishi lakini pia Pep anajua namna ya kutumia hizo pesa kwa kununua wachezaji sahihi. Pep amewafanya wachezaji waliokuwa wanaonekana wa kawaida akina Sterling, Sane, KDB, n.k kuwa hatari zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anaanza kufundisha Timu ya Barcelona kutoka kwa mtangulizi wake Frank Rijkaard mwaka 2008, wengi nikiwemo mimi hawakuamini kama Josep Pep Guardiola anaweza kufanya makubwa hasa kutokana mafanikio na aliyokuwa ameyapata mtangulizi wake pamoja na umri wake mdogo wa miaka 37. Pep alichukua...
Serikali ya awamu hii haijali yeyote Mkuu. Si Watumishi, Wakulima wala Wafanyabiashara. Huu ni muda wa wahama vyama tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.