Habari mzee,huyu Saleh tambwe ndio yule balozi aliye kosa nafasi kwenye ndege iliyokua inatoka dar es salaam kwenda Rwanda mwaka 1994 ambayo ilipata ajali na kuua Marais wawili wa Rwanda na Burundi?
Kuna sehemu nilikua nasoma historian nimekutana na hili jina la Saleh tambwe.
Hivi mpaka Leo Elon musk wamembania na internet yake Nina amini angepewa fursa huyu jamaa hapa nchini Hawa wakina voda na mwenzake akili ingewakaa sawa.
Tuna urasimu wa hivyo Sana hii nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.