mimi ni kijana ambaye nimemaliza chuo mwaka juzi, kipindi nikiwa chuoni nilibahatika kuwa na mchumba aliyekuwa ametokea Canada, tulipendana sana, ila mwenzangu alinionjesha mambo ya kigeni(tigo) na kibaya zaidi tulizoea hako kamchezo mpaka ikafika hatua tunatinga na mtoni tu na baharini hatutii...
Zero aliona watu wanacheza mpira uwanjani, akatafakari kichwani akisema hawa watu wajinga yaani wote hawa wanagombania kucheza mpira mmoja?? Basi akawahesabu then akaenda kuleta mipira kulingana na idadi yao akaitupia uwanjani...
Habari ya uzima wanajamii forums, mimi ni civil engineer nliyemaliza chuo mwka jana natafuta kazi katika kampuni yoyote ya ujenzi au consultancy inayohusika na barabara au majengo. Anayejua kampuni inayohitaji naomba ani pm. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.