Wapendwa nauza Tv flat Screen LG INCH 43 imetumika miezi nane tu bado ina makaratasi yake..
Bei laki 700,000/= mazungumzo yapo.
Location ni Dodoma.
Mawasiliano-0758291272
Hapa ndo nazidi kuamini kwamba ukitaka kuwa mwanasiasa lazima uwe na moyo wa ajabu sana! Jamaa ndo kaenda kutoa shukrani leo afu kwa kauli za kejeli! Mungu nisaidie nisiwe mwanasiasa!
kwa kuangalia haraka haraka utagundua kwamba huyo jamaa siyo mwanajeshi kwa sababu hiyo sare haina hata namba, kwa sababu wanajesh au askar yeyote hutambulika kwa kutumia namba na hilo ndo huwa jina lake. kwa kitendo hiki mi naliunga mkono JWTZ kwa kuendelea kufanya uchunguz dhidi ya haya...
wana jf naomba kwa hili, mwenzenu korodani zangu kuna mda nakuwa nahisi kama kuna moto unaziunguza, afu na mashine nakuwa nahisi ni ya barid! naomba ushauri wa kitaalamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.