Naomba sana ujumbe huu uwafikie wahusika.
Miongoni mwa njia wanazotumia viongozi wa vyama vya msingi kujitajirisha kwa kuwaibia wakulima ni kuwa na mawe ya mzani yanayoiba.
Tatizo hili ni kubwa kuliko inavyodhaniwa lakini halijaguswa wala kuzungumzwa. Na mwaka huu hali imekuwa mbaya zaidi...
Katika shule aliyofanya mtihani mtoto wangu.
Kati ya wanafunzi 180 waliofanya mtihani ni wanafunzi 67 tu ambao matokeo yao yametoka,waliobaki unakutana na alama ya nyota kisha w,nini tafsiri yake?
Kama mmeamua kutengeneza app kwa ajili ya chanel zenu vipi tena inawapata kazi ya kuzihamisha kila mara Yaani kukiwa na football mechi mnahamisha chanel ili eti watu wakaangalie kupitia ving’amuzi,Yaani Yaani bado hamjui kwamba watu wako karibu na simu zao kuliko ving’amuzi ambavyo wameviacha...
Kama wewe ni mfuatiliaji wa tamthilia ya Sultan bila shaka utakubaliana nami kwamba sio tu ni ngumu kwa kiongozi kuwa na taarifa sahihi bali pia ni hatari zaidi anapozungukwa na watu wanaomsifia kwa lengo la kulinda maslahi yao.
Imekuwa ni kama fashion kwa kila mteule wa Rais akisimama sehemu...
Katika press conference aliyofanya leo sambamba na Dismas Ten,Mwinyi Zahera amesikika akilaumu upangaji wa ratiba ya michezo ya ligi pamoja na kumtuhumu Refa aliechezesha mchezo kati ya Yanga na Coastal kwamba amekuwa akisafiri pamoja na timu ya simba na akaenda mbali zaidi kwa kusema mambo hayo...
Wadau hali ya wakulima wa korosho ni mbaya sana tofauti kabisa na inavyoripotiwa ktk vyombo vya Habari...
Katika Kijiji chenye watu mia sita wanalipwa watu nane au watu kumi na tatu kisha inatangazwa watu wengi wanalipwa huu uongo unaotangazwa mchana kweupe ni kwa maslahi ya nani.
Wakulima wengi...
Katika kipindi cha wiki moja wanawake wajawazito zaidi ya wanne ninaowajua wamepoteza maisha kwa mtindo unaofanana walipokwenda kujifungua ktk hospitali ya Wilaya tunduru mkoani Ruvuma.
Mwingine alitakiwa afanyiwe upasuaji lakini alikaa siku mbili bila kufanyiwa hadi alipofariki Mama na mtoto...
Nilikosea kutuma pesa kiasi cha shilling 65000/-kutoka Airtel money kwenda tigo pesa ktk namba 0678984060 ambapo ilikuwa majira ya saa tisa alasiri.
Haraka haraka nikapiga simu Airtel kutoa report na kuomba msaada ili pesa izuiwe baada ya kugundua niliemtumia amezima simu.airtel wakaniambia...
Wakulima wa korosho ktk nchi hii inayowajali na kuwasimamia wanyonge wananyanyasika ktk kupokea malipo ya korosho zao walizouza kiasi ambacho iko wazi mazingira ya dhuluma dhidi yao yanaandaliwa kwa ustadi mkubwa na serikali yao.mfano ktk halmashauri ya Wilaya ya Tunduru baadhi ya wakulima...
Wananchi ambao bila kuomba waliorodheshwa kuwa wanufaika wa tasaf sasa wanatakiwa kurudisha pesa zote walizopokea Au wafikishwe mahakamani.jambo hili limezua taharuki kubwa miongoni mwa wananchi hasa ukizingatia kwamba asilimia kubwa ya wanufaika wa tasaf na hata wale ambao wametolewa ni wa hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.