Nakubaliana nawe Mjini Chai, mimi ni mteja mkubwa saaana wa TOL ila nafikiria kutafuta supplier mwingine wa Gas, kuna Mainjinia Vichwa wametolewa kwa ajili ya FITNA na Majungu mfano G. Lyatuu alikuwa production Manager, A. Magai alikuwa Fundi Mkuu Mzee Matilya woote hawa ni vifaa wameamua kuleta...
KWA MTAZAMO WANGU HIYO NI DALILI YA UVIVU, MAANA UTAKAPOLALA UKIAMKA MWILI UMECHOKA CHOKA SO HATA PERFORMANCE YAKO KAZINI KNAKUWA AFFECTED (This is my View)
Mkuu labda tuwaige kwenye kukwepa kodi, UWT waende kampuni moja inaitwa UNIQUE FINANCIAL SERVICES 85% ya employees ni wahindi wanakaribia kuhamia jengo lao jipya pale opposite na Seifi Book Shop Upanga hapo ndio itakuwa mambo yote maana mpaka wafagizi watakuja toka india. Where are we...
Nawasalimu wana jf wote, naombeni updates kuhusu major reshuffle immigration aliyoahidi mh waziri Nahodha je imeshafanyika? If so je kuna mabadiliko yoyote ktk idara hiyo nyeti.
Naomba kuwasilisha
Ombi kama hauna value adding comment ipotezee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.