Erick52 kupiga sio ishu pia kupenda ni mzigo mzito na unahitaji moyo kutolea maamuzi kwanza anatakiwa achunguze japo kwa sms za binti inaonekana binti amechukulia poa ishu ya job saa sita hajui hata kudanganya si mwaminifu Kabisa
Kwann ufe njaa kwa ajili ya mtu kwani akijakula anakuongelesha unaogopa kama ulushawahi kumwibia we unakula kwa gharama yako naye ya kwake kwann wacha woga jiamini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.