Kwa akili yangu nahisi TISS inafanya kazi na wamepandikizwa wengi ktk maofisi ila wanapokosea ni kupeleka majibu kwa rais na waziri mku ambampo huzitumia taarifa hizo kujikweza ktk ziara zao. Kwanini hizo taarifa zisipelekwe kwa DC, mbunge, takukuru na mambo yakashugulikiwa mapema bila kusubili...
hapo sasa
kuna siku nilimsikia speaker akisema riport ya CAG ni audit query hi ilikuwa ni upotoshaji kabisa. navyofahamu ukifanyiwa audting unambiwa walichoona na unapewa mdaa wa kujibu na kurekebisha kama kuna mahali wamekosea usipojibu katika mdaa muafaka wanaenedelea na kutoa riport kamili...
kama alivyosema watanzania sio wajinga tunaelewa yaliyo mkuta MO, aliyekuwa mwenye kiti wa Yanga ,Zakaria na matajili wengine tunaohisi utajili wao siyo wa halali. mzee kajisalimisha yangemkuta nae lazima waishi kishetani
aliwahi kujinufaisha na kiwanda cha oil mill nwe era mwanza wakati wa Nyanza ezi zile kwa njia ya ujanja ujaja ila nasikia kisha pigwa biti na kurudisha
Hapo hakuna cha pumu wala presha ni mazingiraa tu asikae lupango wao wanapenda kuweka wenzao kumbe wao waoga mkuki kwa nguruwe
Sent using Jamii Forums mobile app
hicho ni chakula cha kushitukiza hakuna mtu aliyewaza kumzuru mkuu kupitia dafu na kama kuna vidudu mwenzio anapimwa kila siku atapata matibabu kabla hata hao wadudu hawajaanza kuzaana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.