Hii ndiyo siri ya jeshi imara duniani ni lazima wanajeshi wake wawe tayari kwa vitendo kulinda amani ya nchi,na kushiriki katika misheni za amani duniani,najivunia jeshi langu jwtz kwa kazi nzuri wanayoifanya congo na kwa kujiweka tayari kwa vitendo na ujasiri wa kivita kwa ajiri ya kuilinda...
Katika hali ambayo si yakutengemea kwa wana C.C.M,hususani viongozi wa ngazi za juu za chama hicho tawala nchini wamejikuta wakiwa wamengawanyika sana katika masuala yanayohusu uchaguzi wa umoja wa vijana UVCCM,hii inatokana na waziri wa mambo ya nje na mwana C.C.M kutoka jimbo la tama...
Naomba nimulize aliyeleta thread hii kama anajua anachokiongea na wakati tulionao kwa sasa kwanza si rahisi kutokuamini kuwa wewe si mwama CCM, lakini jambo la msingi kwa sisi tunaombea ukuaji wa demokrasia nchini ni kwamba tasisi zinazobeba hatima ya demokrasia nchini ikiwemo zile za vyama vya...
Niko hapa Dodoma,nasubiria serikali ya magamba ielekee ICU,
Lakini,namuona Mh.Membe,Nasari,Magreti Sitta,Chemba,Mwakyembe,wakiongea na viongozi wa serikali za wanafunzi wa elimu ya juu.
source,mimi mwenyewe!
mshenzi mubwa wewe maisha ya watu ni zaidi ya siasa ,pia yawezekana wewe ni mkimbizi au huna akili timamu kwa hitimisho la kipuuzi kama hili,ondoa pua yako kwenye mtandao na ukakae kwenye vijiwe vya kahawa,baba yako angekuwa robo ya sitta/mwakyembe ungekuwa na akili timamu.
wewe ndo mshenzi mubwa,hizo bahasha za mafisadi zimebaka akili yako kiasi hicho,wewe wa kyela wapi,kafie huko mtumwa wa mafisadi,mumbwa mwitu we usiyefaa hata kwa ulizi wa nyumba
ARUMERU alikuwapo fisadi LOWASA na ndiyo maana wananchi wakatoa somo kuwa hataki Tanzania yenye mafisadi,mzee sitta anaipenda CDM ndiyo maana alikataa kuiba kura kama walivyopanga magamba,mzee ni msafi sana.
huyu lowasa wamshauri vizuri wanaomzunguka kuwa afanye mambo mengine suala la urais aachane nalo huyu si msafi na bado hajatubu dhambi zake kwa watanzania kwa kuiruka hatua hii itamtesa maisha yake yote.
weka pembeni ushabiki wa urais kwa EL hata kama bahasha zake zinakufikia,haya ni mambo ya imani katoliki,Lowasa hataupata urais kwa giliba hata siku moja kama anavyofanya,kwanza siku ili alitaka kucheza mchezo wa kulazimisha kupiga picha na kardinali pengo,ili muweke JFkama ishara ya kukubalika...
bora huyu anayepambana na fisadi kubwa hapa nchini,tunamtaka mtu aliyena ujasili kama wa sitta hata kama si sitta kwa jina ila awe mtu mwenye uthubutu kama sitta na vinginevyo,hata hivyo hata kama si slaa ila tunamtaka mtu mwenye uthubutu kama slaa,unafikria kazi iko wapi,sisi kama taifa...
unatumiwa vibaya na hao mafisadi,tumia akili kutadhimini mambo,vinginevyo mitizamo yako itakuozea kichwani bila kupata wa kuinunua,muulize baba yako amelifanyia nini taifa letu ukilinganisha na mzee sitta,kwanza yawezekana hajausaidia hata mtaa mnaoishi,unapata wapi wewe ujasiri wa kuukana...
wewe ndo umetumwa kuukana ukweli kuhusu mzee sitta,ni kiongozi pekee mpaka sasa aliyetumikia serikali bila kashfs yoyote ,hizo unazoleta niza kuokoteleza majalalani
wewe ndo huna akili timamu bila sitta vita ya ufidadi ingejulikana kama leo,siyo sitta aliyezima mjadala wa ufisadi bali ni bunge la jamhuri,hivyo unataka kumanisha sitta alikuwa na nguvu kuliko bunge lenye watu zaidi ya 300,soma mambo na uyaelewe,soma nafasi ya spika bungeni na nguvu ya bunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.